Kikundi cha Kyaso na Nyota Kali waibuka mabalozi wa kuiwakilisha Tanzania nchini Zambia

Katika tamasha hilo la kuwatafuta mabalozi wawili watakao iwakilisha Tanzania katika mashindano ya music crossroads nchini Zambia,hatimaye yamepatikana makundi mawili ambayo ni Kyanzo-DCMA kutoka Zanzibar pamoja na Kikundi cha Nyota Kali ndivyo vilivyofanikiwa kunyakua nafasi hiyo ya kwenda nchini Zambia.

 

Kwa taarifa zaidi bonyeza hapa

 

 

Write a comment

Comments: 0